Posts

Showing posts from May, 2020

FAHAMU TIBA KWA KUTUMIA KARAFUU

Image
TIBA KWA KUTUMIA KARAFUU karafuu ni miongoni mwa kiungo cha chakula na dawa mbali mbali karafuu inajulikana ulimwenguni kwa tiba  magonjwa mbali mbali. Magonjwa hayo ni kutoa gesi tumboni, tatizo la mmeng'enyo.kutapika, na matatizo katika meno. JITIBU KWA KUTUMIA KARAFUU Matatizo katika misuri #ganzi ya mikono na miguu. #kiharusi #maumivu ya viungo. #uvimbe. Tumia mafuta ya karafuu kwa kuchulia sehemu yenye matatizo. . 1.KUHARISHA Chukua karafuu weka kwenye maji chemsha kunywa kuharisha kutaisha 2.KICHEFUCHEFU tafuna punje za karafuu  tatu kichefuchefu kitaisha. 3.MATATIZO YA MENO Sukutua maji ya uvugu  vugu yalichemshwa na karafuu. 4.MAUMIVU YA KICHWA.(kipanda USO) Chukua mafuta ya karafuu changanya na chumvi ya mawe kidogo kisha pakaa kichwan sehemu inayouma. Maumivu yata kata. 5.JINO LILILOTOBOKA:    chukua pamba weka ktk mafuta ya karafuu kisha weka kwenye jino lililotoboka ukiweka iyo pamba sikilizia kama dakika 30 ndo uitoe Fanya ivyo kwa w

MWANAUME WAJUE MAADUI 20 WA UUME WAKO

Image
MAADUI 20 WA UUME WAKO 1.MAGONJWA Magonjwa ni adui namba 1 wa uume wako. Magonjwa ya sehemu za siri, magonjwa ya mwili kwa ujumla, na magonjwa ya wanaume kama - tezi dume ni adui wa uume wako. Ugonjwa kama kisukari na presha, figo na ini kutokufanya kazi vizuri LAZIMA uume uwe dhaifu. Kuna magonjwa mengine pia kama viupele vya ajabu ajabu huko kwa babu pamoja na ugonjwa wa bawasiri. MAGONJWA HAYA LAZIMA YATIBIWE HARAKA. 2. ULEVI NA SIGARA Ulevi haufai kabisa kwa afya ya uume wako. Ulevi unakufanya uwe mlaji wa nyama hasa nyekundu, unakuwa sio mwepesi wa kunywa maziwa na kula matunda, unakuwa mzembe wa majukumu yako ya ndani, unapata vitambi, unaharibu balansi ya homoni.  unaelekea upotevuni. Kunywa maji ya kutosha, maji fresh ili kuuburudisha mwili na kuondoa msongo wa mawazo. 3. PUNYETO NA MICHEPUKO Watu walionishuhudia ambao walifungwa katika minyororo ya kufanya punyeto hadi mara 6 kwa siku, waliokuwa wanafanya hadi vyoo vya ofisini na wengine kujificha hata majumb

FAIDA ZA KUTUMIA BAMIA KIAFYA

Image
FAIDA ZA KUTUMIA BAMIA. BAMIA NI TIBA NA NI KINGA YA MAGONJWA MBALIMBALI 1.BAMIA husaidia kulainisha tumbo. 2.BAMIA hutumika kutibu v.vya tumbo. 3.inaongeza nuru ya macho na kufanya macho yaone vizuri. 4.husaidia tatizo la kutopata choo. 5.huondoa vimelea vya sumu kwenye ngozi. 6.husaidia kuimarisha mishipa ya damu. 7.inasaidia kutibu magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na kaswende. 8.inatibu tatizo la hedhi bila mpangilio na kutibu tatizo la chango la kike. 9.inasaidia kuimarisha afya ya nywele. 10.inasafisha damu na kuondoa tatizo la energy. 11.inasaidia na kupambana na tatizo la uchovu wa mwili na kuondoa tatizo la msongo wa mawazo. 12. inasaidia tatizo la sukari.. BAMIA NI KINGA YA MAGONJWA MENGI USHAURI WANGU  LEO TUJITAIDI KUTUMIA BAMIA MARA KWA MARA KWA AJIRI YA KUTIBU NA KUKINGA MAGONJWA MBALIMBALI

ZIJUE FAIDA 17 ZA MBEGU ZA MABOGA MWILINI

Image
FAIDA  ZA MBEGU ZA MABOGA MWILINI Mbegu za maboga zina protini na madini ya kutosha na ya muhimu zaidi mwilini kama vile madini ya Zinki, Copper, Magnesium, Manganese, na chuma. Mbegu za maboga ni tamu na unaweza kuzitafuna tu kama karanga. Kama ulikuwa hujui basi zifuatazo ni faida za mbegu za maboga. 1. UGONJWA WA MOYO. Kutokana na wingi madini ya magnesium katika mbegu za maboga huwasaidia watu wenye magonjwa mbalimabli ya moyo. Madini ya magnesium ni muhimu kwa ajili ya kuimarisha msukumo wa damu kwenye moyo na kuimarisha afya ya mishipa ya damu hivyo kutibu na kuzuia magonjwa ya moyo. Mbegu hizi pia zina mafuta aina ya OMEGA 3 ambayo ni muhimu kwa watu wenye ugonjwa wa moyo. 2. HUIMARISHA KINGA YA MWILI. Mbegu za maboga zina kiasi kikubwa cha madini ya zinki (zinc). Kazi kubwa ya madini ya zinki ni kuimarisha kinga ya mwili. Upungufu wa madini ya zinki mwilini unaweza kupelekea matatizo kadhaa mwilini ikiwemo kuzaa watoto njiti, kuishiwa nguvu za kiume, matatizo y

ZIFAHAMU FAIDA ZA KULA TUNDA LA FENESI

Image
FAIDA ZA KULA FENESI. fenesi ni tunda linalopatikana kwa urahisi kwenye nchi yetu ya Tanzania sjui kwa nchi jirani huko kenya,uganda nk.. Lakini sina uhakika  kama watu wanajua faida za kula  fenesi sasa basi kwa siku ya leo nitakuambia faida unazozipata baada ya wewe kula fenesi.   👉🏻Fenesi huondoa tatizo la kutopata choo 👉🏻fenesi  hukinga magonjwa ya kansa. 👉🏻fenesi husaidia sana kwa wagonjwa wa moyo na presha ya kushuka. 👉🏻fenesi huongeza hamu la tendo  kwa wanaume tumia mbegu zake Matumizi unaweza kutwanga mbegu zake ukapata unga vijiko viwili ukachanganya na maziwa unakua unakunywa glas moja x kwa siku au  unachukua mbegu zake unaziweka jikoni kwenye jivu la moto mpaka mbegu izo ziive vizuri kisha unazitoa  maganda ya juu matumizi unakula kama karanga unaweza kula punje 15 hadi 20 au zaidi tiba hii ni mujarabu sana anza kutumia leo uheshimiwe na mkeo. Majani ya fenesi hutibu tatizo la homa inayojirudia mara kwa mara 👉🏻matumizi unachemsha majani yake y

FAHAMU UMUHIMU WA KULA ZABIBU KIAFYA.

Image
FAIDA ZA KULA ZABIBU 1.chanzo cha vitamini C 2.huzuia tatizo la tumbo kujaa gesi. 3.huzuia matatizo ya uvimbe. 4.husafisha damu. 5.hutibu vidonda katika koo. 6.hutibu matatizo ya macho kwa wale wasio ona vizuri. 7.hutibu tatizo la homa hasa ile homa ya mafua kuna watu wakipata mafua tu na homa inapanda zabibu zinasaidia sana kuondoa tatizo la homa. 8.huzuia kutapika. 9.huzuia shinikizo la damu. 10.hupunguza kasi ya kuzeeka haraka. 11.hufanya misuri kuwa imara. 12.hutibu maumivu ya koo. 13.hutibu ugonjwa wa ini. 14. huondoa tatizo la kutopata choo nk.. MATUMIZI unaweza kutengeneza juisi yake ukawa unakunywa glas moja x 2 kwa siku au unakula punje 20 x2 bi maana kwa siku unakula tunda 40 kwa muda wa siku 21   kitiba Baada ya hapo pendelea kula tunda za zabibu kwa ajiri ya kujikinga na kujitibu magonjwa mbalimbali.

ZIJUE FAIDA 13 ZA KULA TENDE MWILINI.

Image
MADA YANGU YA LEO.ZIJUE FAIDA ZA KULA TENDE   Tende ni tunda linalo yayuka karahisi tumboni tunda hili lina faida nyingi sana kwenye miili yetu ndo maana tunda hili.linapendwa sana ila limezoeleka kuliwa sana kwenye mwezi mtukufu wa ramadhani.       Japo kuwa tunda hili linastahili kuliwa kila siku kama matunda mengine mfano🍎🍊🥕🥒🍉🍍🥭nk.. Faida za kula tende👇🏻 1.ende ina kiwango kikubwa cha nyuzinyuzi. 2.tende hutibu tatizo la kuvimbiwa. 3.tende huboresha tishu za meno. 4.tende husaidia kuongeza uzito. 5.tende husaidia kuupa mwili nguvu na kuondoa uchovu. 6.tende huboresha macho. 7.tende hupunguza kiwango cha kolesterol mwilini. 8.tende husaidia kutibu ainemia. 9.tende husaidia sana kwenye mambo frani ya  watu wazima kula tende punje 10 au zaidi. Tumia na maziwa freshi ya moto glas moja  kila siku hasubui na jioni kwa muda wa wiki 2 tu hakika utaona matokeo mazuri. 10.tende huzuia saratani ya tumbo. 11.tende huyapa maziwa virutubisho kwa mama an

ZIFAHAMU FAIDA 17 ZA MSTAFELI KIAFYA

Image
Mstafeli mti huu unazungumziwa sana nchini kwa sababu umewasaidia watu wengi katika kuwatibu magonjwa sugu hasa ugonjwa huu unaowasumbua watu saratani ya tezi dume na saratani nyingine nyingi. Saratani aina zote zinatibika kwa kutumia mstafeli. Kama vile_ Saratani ya mapafu. Saratani ya mdomo. Saratani ya kwenye ulimi. Saratani ya shingo ya kizazi. Saratani ya ini.. Saratani ya mji wa uzazi. Saratani ya matiti . Saratani ya kongosho. Na nyingine nyingi. Majani ya mstafeli yanatibu. Maumivu ya mgongo. Kisukari. Yanaongeza kinga ya mwili. Yanaimarisha afya ya mfumo wa upumuaji. Mazuri kwa afya ya moyo. Maumivu ya nyonga. Yanaongeza cd4 mwilini nk .. Matumizi unaweza kutengeza juice yake kwa kutumia matunda yake ukawa unakunywa glas moja x 2 kwa siku. Kwa muda wa siku 21  au ukachemsha majani yake  ukawa unakunjwa kikombe kimoja x2 kwa siku kwa muda wa siku 21 Kama hauwezi hayo yote basi chukua majani ya mstafeli yaponde au yatwange kisha yaanik

ZIJUE FAIDA KUMI (10) ZA STRAWBERRY MWILINI

Image
FAIDA ZA STRAWBERRY MWILINI Matunda haya ya strawberry yana faida nyingi sana katika mwili wa binadamu ikiwa ni pamoja nafaida za kiafya. Faida hizo ni kama ifuatavyo 1-Hutunza ngozi ya mwili ( anti-aging skin) 2-Huimarisha mifupa ( bone care) 3- Hupunguza madhara ya presha ya kupanda na kushuka( hype – tension) 4-Ina madini yanayohitajika kwa mama wajawazito na ukuaji wa mimba ( natal care) 5-Kinga na afya ya mzunguko wa damu 6-Kinga ya baadhi ya saratani 7-Inasaidia kuponya jeraha kwa haraka 8- Inasaidia kupunguza uzito kwa wale wenye uzito mkubwa 9-Inasaidia kuongeza kumbukumbu 10-Inasaidia kuongeza nguvu na muamko wa kufanya mapenzi strawberry zina madini ya zink kwa wingi ambayo husaidia zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanaume. Hivyo, katika bustani yako unaweza kupanda miche kadhaa kwa ajili ya afya yako na familia yako pia. Mbali na faida kwa mfumo wa uzazi, berries vitamini C huongeza nguvu wa mfumo wa kinga na magonjwa, kuimarisha mwili. Ni matunda muhimu s

FAHAMU FAIDA 10 ZA NAZI KAMA TIBA YA MWILI

Image
TIBA KWA KUTUMIA NAZI NAZI  NI kiungo cha vyakula mbali mbali . pia madafu ni kiburufisho kwa ajiri ya kukata kiu na kushiba kwa kula nyama ya ndani . Nazi ina faida nyingi sana katika jamii watu watumia Nazi kupikia wali. Mboga. Nk.. Nazi na madafu ni tiba ya magonjwa mbali mbali Kama Yafuatayo. 1.KUHARISHA __kunywa maji ya madafu yaliyo kamliwa  ndimu kuharisha kutaisha. 2.NAZI MBATA AU NAZI YA KAWAIDA INAONGEZA MBEGU ZA UZAZI (SPAM) goli la kishindo. Ukila vipande vitatu vya Nazi nusu SAA kabla ya tendo la jimai (tendo la ndoa) hakika utakua na nguvu nyingi na utarudia round 4 had 5 bi.maana hauchoki halaka 3.MAWE_KATIKA_FIGO      chukua maua ya mnazi yakaushe juani kisha yasage upate unga kisha weka kijiko 1 kwenye maziwa mtindi glas moja kunywa kutwa x2 kwa muda wa siku 5 tatizo ilo litaisha. 4.MAUMIVU YA KICHWA  kunywa maji ya madafu mawili utapona kichwa. 5.KUTIBU VIDONDA chukua mafuta ya Nazi pakaa kwenye kidonda kitapona. Kwa muda mchache sana.

FAHAMU KUHUSU MMEA WA MPAPAI

Image
SAYANSI YA MIMEA FAHAMU KUHUSU MMEA WA MPAPAI NAPENDA kuwafahamisha kuwa kwenye hiyo link whatsap kuna namba zangu kwa mwenye shida na mimi anaweza kuitumia. Napunguza maswali ya naomba namba zako lakini uwe na shida maalumu sio unakuja inbox unaniukza tena faida za mpapai wakati nishafafanua. Sasa tufahamu kuhusu mmea wa mpapai katika shughuli za tiba za asili. Mmea huu hutumika kwa kuleta matunda ndo faida tunayoijua wengi maana hata kimvuli hauna. Mti huu una aina mbili kuna jike na dume fuatana nami katika kufahamu zaid. Kila utakachokisoma kinahusiana na mipapai ile ya asili sio mipapai ya kisasa wiki moja ishazaa nazungumzia mipapai asili ile ya kienyeji. Majani ya mpapai jike kiafya yanaweza kutibu maradhi ikiwemo homa kali, maradhi ya sukar shikiizo la dmu ukichukua majani mabichi ukakata na kusga na kitengeneza juisi inatibu maradhi niliyotaja hapo juu. Majani makavu ukayatumia kama mafusho yanashusha pumu ile ya kubana wakat umebanwa fanya hivyo pumu itaahuka. Maj

ZIJUE FAIDA KUU 6 ZA MAFUTA YATOKANAYO NA MIMEA

Image
Mafuta yatokanayo na mimea huwa katika hali ya kumiminika kwenye joto la kawaida, mara nyingi mafuta haya hayana lehemu, ni vizuri kutumia mafuta haya kwani ni bora kwa afya ya mlaji ukilinganisha na yale ya viwandani. Nimekuwekea orodha ya Mafuta yatokanayo na mimea pamoja na mbegu zitoazo mafuta kama ifuatavyo: 1-Mafuta ya Soya 2-Mafuta ya Ufuta 3-Mafuta ya Alizeti 5-Mafuta ya Karanga 6-Mafuta ya Pamba 7-Korosho 8-Kwembe 9-Maboga FAIDA ZAKE : Hupunguza Lehemu mbaya kutokana na kutokuwa na lehemu. Mafuta haya yana Omega3 ambayo ni muhimu kwa kuondoa Lehemu mbaya mwilini na kulinda mwili usipate na magonjwa ya moyo. Mafuta haya yana 3 Pufa (n-3 Pufa)(Poly unsaturated fat) haya ni aina ya mafuta yanayotokana na Mchele, Soya, Ufuta na Pamba. Huleta afya nzuri na kulinda mwili usipate na magonjwa kama vile Kisukari, Kansa, Magonjwa ya moyo, Upungufu wa nguvu za kiume na kike. Mafuta haya ni rahisi kuyeyuka na kuleta ladha nzuri katika chakula. Vyakula vilivyo na maf

YAJUE MAAJABU YA MAJANI YA MPERA KATIKA KUTIBU MAGONJWA

Image
YAJUE MAAJABU YA MAJANI YA MPERA KATIKA KUTIBU MAGONJWA 1. Chai ya majani ya mpera inaponyesha kifua na kikohozi 2. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu muwasho uliotokana na mzio (allergy) 3. Majani haya ya mpera yakichemshwa kama chai yanaondoa cholesterol iliyozidi mwilini. 4. Chai ya majani ya mpera inapunguza kiwango cha tatizo la sukari mwilini. 5. Chai ya mpera ni dawa nzuri kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume. 6. Pia inatumika kama scrub ya uso. Chukua majani ya mpera saga kisha tia maji kiasi na inasaidia kuondoa uchafu usoni. 7. Pia majani ya mpera yakichemshwa ni dawa ya kuponyesha tumbo la kuhara 8. Kama umejikata kidogo unaweza kutumia majani ya mpera yaliyooshwa na kusagwa vizuri kwa kupunguza maumivu na kukulinda na maambukizi ya bakteria. 9. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu eneo la mwili lililong'atwa na mdudu na kupunguza maumivu. 10. Chai ya majani ya mpera inaaminika kuwa ina uwezo wa kutibu tezi dume.

FAIDA ZA PILIPILI MANGA KIAFYA

Image
PILIPILI MANGA / BLACK PEPPER: Kiungo hiki kizuri kwa mwanamke ambaye amejifungua au mimba imeharibika na yupo kwenye utaratibu wa kuondoa uchafu usibakie kwenye kizazi.   Tumia Uji uliotiwa Pilipili manga sio chini ya siku 21....... KWA FAIDA YA WOTE: Pilipili manga mara nyingi hutumika kama kiungo kwa ajili ya kuongeza ladha kwenye chakula. Lakini kiungo hicho kina faida kadhaa kiafya mwilini ambazo unapotumia unapaswa kuzijua faida zake kwa sababu ina wingi wa madini ya Manganizi, Shaba, Magnesiamu, Kalsiamu, Fosforasi, Chuma na Potasiamu. Vitamini: Pilipili manga ina wingi wa Vitamini B2, Vitamini B6, Vitamini C na Vitamini K. Vilevile pilipili manga ina winga wa Nyuzi lishe, Protini na wanga. ~Uwepo wa virutubisho hivi ni muhimu kwa ajili ya mmeng'enyo wa chakula kwa wenye matatizo ya choo na tumbo kujaa gesi ~Kupunguza uzito. Magamba ya nje ya pilipili manga yanasaidia sana katika kuvunjavunja seli za mafuta mwilini. Seli hizo huvunjwavunjwa na kutumika kati

FAHAMU DAWA ASILI ZA CHANGO

Image
>>Utamuona mwenye chango hakiwa off mood haswa nyakati za hedhi kwa sababu ya maumivu makali anayoyapata kwa muda huo...... Dalili za mara kwa mara, >>Kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi >>Kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa >>Siku zake za huwa zinavurugika na hii humpa utata kuhesabu mzunguko wa hedhi kuijua siku muhimu ya kubebea mimba >>Hujisikia homa kali anapokaribia siku zake za hedhi >>Kupatwa hasira kali/ jazba anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi. ~Kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi. ~Kupata mchubuko kwenye mapaja na sehemu za uke. ~Kuchukia kushiriki tendo la ndoa ~Kupata uvimbe kwenye kizazi ~Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi Madhara ya Chango La Uzazi: •Ni vigumu kupata mimba na kuwa tasa kabisa •Kuingia na kutoka kwa mimba (miscarriage) •Kuwa na hamu ya tendo la ndoa lakini hafikii kileleni •Kuwa na uke mdogo sana

JINSI YA KUMSAIDIA MAMA MJAMZITO ANAYETAPIKA MARA KWA MARA..

Image
Tunamsaidia vipi mama mjamzito anayetapika mara kwa mara...!?a la kihomoni jambo ambalo huwafanya wajawazito kuwa mabadiliko pia km kuchukia baadhi ya harufu, watu au aina fulani za vyakula, wengine huwafanya kutapika na kupoteza hamu ya kula jambo ambalo hupoteza virutubisho vingi katika mwili na kupoteza maji mengi. Dondoo hizi naomba zikusaidie wewe mjamzito na wewe unayeweza kumsaidia mama mjamzito popote ulipo ili kumlinda mama na kiumbe chake... •Mama mjamzito ale mkate mkavu mara baada ya kuamka asubuhi na maji ya uvuguvugu. •Mjamzito ale chakula kidogo kikavu usiku •Mjamzito epuka kula kiasi kikubwa cha mlo badala yake kula vitafunwa au tunda kila baada ya saa moja au mbili na kunywa juisi fresh za matunda na maji sio chini ya lita moja kwa siku •Kula vyakula vyenye protini kwa wingi, kama karanga, matunda kama papai, chungwa, parachichi, tufaa, vyakula vya nafaka, mayai ya kuchemsha, maziwa mtindi n k •Mama kijacho Epuka vyakula vyenye chumvi nyingi, sukari nying

FAHAMU FAIDA SITA ZA UKWAJU KAMA TIBA YA MWILI.

Image
FAHAMU FAIDA SITA ZA UKWAJU KAMA TIBA YA MWILI. Ukwaju ni tiba ya magonjwa mbalimbali, leo tujaribu kuona faida zake Majani ya ukwaju yanatibu fangasi, kusafisha kibofu cha mkojo na kutibu maumivu ya viungo.

adthis