ZIFAHAMU FAIDA 17 ZA MSTAFELI KIAFYA

Mstafeli mti huu unazungumziwa sana nchini kwa sababu umewasaidia watu wengi katika kuwatibu magonjwa sugu hasa ugonjwa huu unaowasumbua watu saratani ya tezi dume na saratani nyingine nyingi.

Saratani aina zote zinatibika kwa kutumia mstafeli. Kama vile_

Saratani ya mapafu.

Saratani ya mdomo.

Saratani ya kwenye ulimi.

Saratani ya shingo ya kizazi.

Saratani ya ini..

Saratani ya mji wa uzazi.

Saratani ya matiti .

Saratani ya kongosho.

Na nyingine nyingi.

Majani ya mstafeli yanatibu.

Maumivu ya mgongo.

Kisukari.

Yanaongeza kinga ya mwili.

Yanaimarisha afya ya mfumo wa upumuaji.

Mazuri kwa afya ya moyo.

Maumivu ya nyonga.

Yanaongeza cd4 mwilini nk..

Matumizi unaweza kutengeza juice yake kwa kutumia matunda yake ukawa unakunywa glas moja x 2 kwa siku. Kwa muda wa siku 21

 au ukachemsha majani yake  ukawa unakunjwa kikombe kimoja x2 kwa siku kwa muda wa siku 21

Kama hauwezi hayo yote basi chukua majani ya mstafeli yaponde au yatwange kisha yaanike juani yakikauka kidogo yatwange ili mradi upate unga  matumizi tumia unga uo kwenye uji kikombe kimoja weka kijiko kimoja kikubwa kutwa x 2 kwa muda wa siku 21.

Karibu sana.

Comments

adthis

Popular posts from this blog

FAIDA ZA PILIPILI MANGA KIAFYA

FAHAMU FAIDA 10 ZA NAZI KAMA TIBA YA MWILI