UMUHIMU WA TUNDA LA NANASI KATIKA TIBA


 UMUHIMU WA TUNDA LA NANASI KATIKA TIBA


Nanasi lina vitamin A,B,na C pia lina madini chuma na phosphorus.


Tunda hili husaidia kutengeneza damu na kuimarisha mifupa,meno, na misuli (muscles) 


MATIBABU KWA KUTUMIA NANASI 


Hutibu MATATIZO mbali mbali ya tumbo. Bandama,figo,INI na utumbo mwembamba, vidonda pembezoni mwa mdomo na kooni.

.

Pia husaidia magonjwa ya kupoteza kumbu kumbu (kusahau).


Huondoa MATATIZO ya kufunga choo. Pia huwasaidia akina mama wanyonyeshao wenye maziwa machache NA hata wale wenye mimba wanashauriwa sana kutumia mananasi kwa wingi angalau kwa siku  ,japo mawili mazima


NANASI LINA faida nyingi lakini nimegusia kidogo tu Allah akituwezesha siku nyingine nitawaelezea zaidi inshaallah


Karibuni sana tujifunze Linda afya yako kwa kutumia TIBA asili madawa ya asili hayana kemikali zozote pia hayana madhala unaweza kutumia hata kama hau umwi, KINGA NI BORA KULIKO TIBA

Comments

adthis

Popular posts from this blog

FAIDA ZA PILIPILI MANGA KIAFYA

FAHAMU FAIDA 10 ZA NAZI KAMA TIBA YA MWILI