TIBA YA KIFAFA KWA KUTUMIA MLONGE


 KIFAFA CHA KAWAIDA.


Kuna aina nyingi sana za kifafa..lakini zinazotambulika ni 3 achanana kifafa cha mimba bana...


1.Kifafa cha kawaida kilicho sababishwa na kukomaa kwa degedege...hiki ndio nitatoa dawa yake.


2.Kifafa kinachosababishwa na jini


3.Kifafa kinachosababishwa na uchawi/Wachawi.


Kifafa namba 2 na 3 unazunguka kwa waganga bila kupona,unazunguka na dawa bila kupona...cha ajabu sasa,dawa yake ni rahisi sana ila ghalama kidogo tu...


Kifafa cha kawaida.

Chukua magome ya mti wa mlonge

Saga kupata unga wake

Tumia kijiko 1kikubwa  kwa mkubwa

Kijko 1kodogo kwa mtoto

kwenye uji kikombe 1 kutwa mara 3 siku 7.


Mlonge huo pichani..


Kifafa ni ugonjwa unaomwangusha mtu na kimtoa povu..

Kifafa hakichagui mahali pa kumwangusha mtu,popote na muda wowote..


Ni ugonjwa unaotesa sana

Ni ugonjwa unamfanya mgonjwa aijihisi mnyonge

Ni ungonjwa unaomfanya mgonjwa ajihis aibu.

Hajiamini kabisa...


Mungu yupo..

Ewe mchawi,unapata faida gani kumloga mwenzako?

 Tubadilike..

Comments

adthis

Popular posts from this blog

FAIDA ZA PILIPILI MANGA KIAFYA

FAHAMU FAIDA 10 ZA NAZI KAMA TIBA YA MWILI