SIMAMISHA MATITI YALIYOLALA KWA NJIA YA ASILI


 🐢🐢🐢🐢🐢🐢🐢🐢🐢🐢🐢🐢🐢

SIMAMISHA MATITI YALIYOLALA KWA NJIA YA ASILI

maziwa

Wadada na Wanamama wengi wamekuwa wakihangaika kwa muda mrefu kutafuta ufumbuzi wa kusimamisha matiti yaliyolala pasipokujua kwamba zipo njia salama za asili za kutatua changamoto hiyo.


Kwa uchunguzi mdogo uliofanywa na dr.khalifa nimegundua kwamba idadi kubwa ya Wanawake hupata changamoto ya matiti kulala baada ya kujifungua na kupitia hatua ya kunyonyesha.


Pia zipo sababu nyingine mbali na hiyo tuliyotaja ambayo huweza kupelekea Matiti ya Mwanamke kulala. Dr  ♩nimeweza  kutuelezea sababu kuu zinazopelekea matiti ya mwanamke kulala na njia za kusimamisha matiti.


SABABU ZA MATITI KULALA


Afya kuwa mbovu

Kuzaa au kupata Mimba

Kurithi

NJIA ZA KUSIMAMISHA MATITI


Kwa kutumia yai, Vitamin E na Mtindi

MAHITAJI


Yai bichi moja au mawili

Mtindi robo lita

Vitamin E : Mafuta ya Alizeti robo lita

MAANDALIZI


Chukua ute wa yai moja bichi kisha changanya na robo lita ya mafuta ya alizeti, Koroga vizuri huo mchanganyiko kwa dakika 10 na hapo utakuwa tayari kwa matumizi.

MATUMIZI


Pakaa huo mchanganyiko kwenye matiti kuelekea chuchu za matiti yako mara moja kwa siku.

MATOKEO


Siku ya 7 baada ya kutumia dawa hii utapata matokeo mazuri

Endelea kutumia dawa yako hadi utakapopata saizi ya matiti uipendayo.

Comments

adthis

Popular posts from this blog

FAIDA ZA PILIPILI MANGA KIAFYA

FAHAMU FAIDA 10 ZA NAZI KAMA TIBA YA MWILI