FAIDA SABA (7) ZA MDALASINI (CINNAMON)
Mdalasini ni aina ya mmea ambao hutumika kama kiungo kwenye chakula kwani hutia radha madhubuti kutokana na harifu yake nzuri ya kuvutia. Faida zake 1.KUPUNGUZA KOLESTEROLI MBAYA MWILINI. Kolesteroli/lehemu (cholesterol) ni aina ya mafuta/fati (fat) ambayo hupatikana kwenye chembe za damu.kolestroli huwa ni kama nta ambayo wakati mwingine hujishikiza kwenye kuta za mishipa ya damu. Hii ni kwa sababu ya vyakula vyenye mafuta(lipid foods) kama nyama n.k. Hivyo mdalasini hupambana na cholesterol/lehemu aina ya lipoprotini ya chini LDL(Low Density Lipoprotein) ambayo husabaisha shinikizo la damu (hypertension). 2. MDALASINI HUWA NA VIRUTUBISHO MUHIMU KWA MWILI. Virutubisho hivyo huwa kazi kama kuboresha mifupa na meno kuwa imara zaidi yaani meno huwa na kinga dhidi ya kuoza 3.KUSAIDIA KUPUNGUZA UZITO. Kwa matumizi mfululizo ya mdalasini husaidia kupunguza uzito usiostahili 4. MDALASINI HUWA NA KAZI YA KUBORESHA KIWANGO CHA SUKARI KWENYE DAMU. Kumbuka kiwango cha suk...
Comments
Post a Comment