FAHAMU FAIDA 10 ZA NAZI KAMA TIBA YA MWILI
TIBA KWA KUTUMIA NAZI NAZI NI kiungo cha vyakula mbali mbali . pia madafu ni kiburufisho kwa ajiri ya kukata kiu na kushiba kwa kula nyama ya ndani . Nazi ina faida nyingi sana katika jamii watu watumia Nazi kupikia wali. Mboga. Nk.. Nazi na madafu ni tiba ya magonjwa mbali mbali Kama Yafuatayo. 1.KUHARISHA __kunywa maji ya madafu yaliyo kamliwa ndimu kuharisha kutaisha. 2.NAZI MBATA AU NAZI YA KAWAIDA INAONGEZA MBEGU ZA UZAZI (SPAM) goli la kishindo. Ukila vipande vitatu vya Nazi nusu SAA kabla ya tendo la jimai (tendo la ndoa) hakika utakua na nguvu nyingi na utarudia round 4 had 5 bi.maana hauchoki halaka 3.MAWE_KATIKA_FIGO chukua maua ya mnazi yakaushe juani kisha yasage upate unga kisha weka kijiko 1 kwenye maziwa mtindi glas moja kunywa kutwa x2 kwa muda wa siku 5 tatizo ilo litaisha. 4.MAUMIVU YA KICHWA kunywa maji ya madafu mawili utapona kichwa. 5.KUTIBU VIDONDA chukua mafuta ya Nazi pakaa kwenye kidonda kitapo...
Comments
Post a Comment