JINI MAHABA


 BAADHI YA DALILI ZA JINI MAHABA..1


1.Kuwa na dalili zote za mimba,lakini ukipima hakuna mimba

2.Kitu kucheza tumboni kama mtoto..

3.kuchukiwa  watu bila sababu yoyote,na kila ufanyalo wanaona ni baya tu..

4.Kujiona Bora Sana kuliko mtu yeyote

5.Kupenda kujitenga na watu

6.kuwa na hofu kupita kiasi..

7.Kutokewa na jini live kupitia umbo la Binadamu na kufanya nae sex(Unakuta huyo jamaa huwa mchovu Sana kwenye sex lakini akiingiwa na jini anakupiga bao tamu Kama la kwenye ndoto mpaka unajiskia Raha isiyo na mfano/Au unapiga bao tamu....


8.Ahadi za ndoa kutotimia..wewe ni wa Kuabudiwa,nitakuoa/tutaonana


9.Kukataa kila mwanaume/Mwanamke anayetaka/kuonesha Nia ya kukuoa/kumuoa


9.Kujiona mdogo hujafikia umri wa kuolewa/kuoa wakati unamiaka 150


10.Kutamani kuolewa /Kuoa baada ya Muda wa kuoa/Kuolewa kupita.


11.Ukilazimisha kuoa/Kuolewa ndoa inakuwa ngumu, ridhiki ngumu


12.Kukimbiwa na wachumba..


13.Mipango ya Ndoa kutofanikiwa kabisa.


14.Ugomvii ,migogoro na mme..Cha ajabu akiwa mbali unammiss unatamani awe karibu na wewe,,afike Sasa,chuki unatamani aondoke tu...


15.Uvivu wa kutopenda kufanya kazi 


16.Kuwa na hasira Kali Sana,hasa unapoamka asubuhi.


17.Maumivu makali wakati wa sex,ukipona P.I.D,U.T.I,Fangas na Uvimbe kwenye kizazi,huna...(anataka awe peke take akufaidi)


18.Kutohisi ladha yoyote wakati wa sex


19.Kukosa hamu kabisa ya sex wakati homon ziko sawa.


20.Migogoro isiyoisha isiyo na sababu ya maana katika mahusiano au ndoa..


21.Kuchukia kabisa Kuoa /Kuolewa.


22.Kuota unalea watoto/mtoto


23.Kuota unanyonyesha


24.Kuota umejifungua


25.Mimba kutoka


26.Kuota unafanya sex


27.Kuota unaolewa/kuoa

28.Kuota unafunga ndoa

29.Chukia kwa mme/Mke

30.Ukiwa nae,huwezi kupata mimba.

Hizo ni baadhi tu..


Ukitaka kujitibu

Anakufingia ridhiki

Unakata tamaa ya kujitibu

Unawaonea wote matapeli hakuna wa kukutibu..

Anaweza akakupa maradhi ukaugua Sana ili tu usiende kujitibu.

Ukielekezwa dawa,unachuma anaficha.

Comments

adthis

Popular posts from this blog

FAIDA ZA PILIPILI MANGA KIAFYA

FAHAMU FAIDA 10 ZA NAZI KAMA TIBA YA MWILI