Posts

Showing posts from September, 2021

FAHAMU JINSI YA KUTIBU MAUMIVU YA SIKIO KWA KUTUMIA KITUNGUU SAUMU

Image
 JIFUNZE JINSI YA KUTIBU MAUMIVU YA SIKIO KWA KUTUMIA KITUNGUU SAUMU Tatizo la kuumwa sikio linajitokeza mara kwa mara katika jamii zetu, ni tatizo lakawaida lakini huwa hatari zaidi hasa pale tiba inapopuuzwa au kucheleweshwa          SABABU ZAKE Miongoni mwa sababu za kupata maumivu makali ya sikio ni:-  1. Maambukizi yatokanayo na bakteria, fangas, virus n.k  2. Kubadilika kwa mkandamizo wa presha(pressure changes) kwenye masikio mfano wakati wa kuogelea na shughuli zingine  3. Maji kuingia masikioni  4. Hali ya hewa  iliyoptiliza  5. Kuchokonoa masikio            TIBA Menya kitunguu saumu kisha kamua juice yake, ipashe moto kiasi kisha itumike ikiwa bado ya vuguvugu. Usichanganye na maji          DOZI Dondoshea matone 2 - 3 ya mafuta hayo(juice) katika sikio lenye tatizo kisha weka pamba ama kitambaa safi kwa muda wa dakika 30 kufanya dawa iendelee kuwepo sikioni.... Fanya hivyo kwa muda wa siku 2 hadi 3 tatizo litaisha   ZINGATIA  1. Tumia dawa ikiwa ya vuguvugu(sio ya moto sana w

adthis